2. Wanadamu Huzaliwa Wakiwa ni Wenye Dhambi (Marko 7:20-23)

Episode 2 January 13, 2023 00:20:33
2. Wanadamu Huzaliwa Wakiwa ni Wenye Dhambi (Marko 7:20-23)
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO?
2. Wanadamu Huzaliwa Wakiwa ni Wenye Dhambi (Marko 7:20-23)

Jan 13 2023 | 00:20:33

/

Show Notes

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Wewe unaonaje kuhusu wewe mwenyewe? Je, unafikiri wewe ni mzuri sana au mbaya sana? unafikiri nini?
Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu wao wenyewe. Labda wewe sio mbaya kama unavyofikiria, na sio mzuri kama vile unavyofikiria.
Kwa hiyo unadhani nani ataongoza maisha bora ya kidini? Je, itakuwa wale wanaojiona kuwa wazuri au wale wanaojiona kuwa wabaya?
Ni ya pili. Kwa hiyo, ni nani ana uwezekano mkubwa wa kuokolewa: wale ambao wamefanya dhambi nyingi au wale ambao wamefanya dhambi chache? Wale walio na dhambi nyingi wana uwezekano mkubwa wa kukombolewa kwa sababu wanajijua wenyewe kuwa wenye dhambi. Wanaweza kukubali vyema zaidi ukombozi uliotayarishwa kwa ajili yao na Yesu.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 9

January 12, 2023 00:58:40
Episode Cover

9. Maelezo ya Ziada

Kufidia, Upatanisho Ibada ya kupitisha dhambi zote za ubinadamu kwa Yesu. Katika Agano la Kale, upatanisho ulikuwa uhamishaji wa dhambi kwenda kafara kwa kuwekewa...

Listen

Episode 1

January 13, 2023 00:30:01
Episode Cover

1. Yatupasa Kwanza Kujua kuhusu Dhambi Zetu ili Kukombolewa (Marko 7:8-9, 20-23)

Ngoja nikuambie ni dhambi gani mbele za God. Ni kushindwa kuishi kwa mapenzi Yake. Sio kuamini Neno Lake. God alisema kuwa ni dhambi kuishi...

Listen

Episode 5

January 12, 2023 01:37:14
Episode Cover

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

Lord(Bwana) God wetu amekata pingu za dhambi kwa watu wote. Wote wanaofanya kazi chini ya dhambi ni watumwa. Ameondoa dhambi zetu zote. Je, kuna...

Listen