Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya...
Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo...
• Fidia Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara...