1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)

Episode 2 October 06, 2025 00:29:48
1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)

Oct 06 2025 | 00:29:48

/

Show Notes

Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya ‘kukosa shabaha.’ Linamaanisha kutopata sawa. Ni dhambi tusipoyafuata amri za Mungu(God) kwa usahihi. Hebu kwanza tuangalie dhambi kama zilivyofafanuliwa na wanadamu.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 5

October 06, 2025 00:59:40
Episode Cover

4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)

Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa...

Listen

Episode 7

October 06, 2025 01:05:02
Episode Cover

6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)

Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa...

Listen

Episode 3

October 06, 2025 00:20:49
Episode Cover

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...

Listen