1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)

Episode 2 October 06, 2025 00:29:48
1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)

Oct 06 2025 | 00:29:48

/

Show Notes

Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya ‘kukosa shabaha.’ Linamaanisha kutopata sawa. Ni dhambi tusipoyafuata amri za Mungu(God) kwa usahihi. Hebu kwanza tuangalie dhambi kama zilivyofafanuliwa na wanadamu.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 8

October 06, 2025 00:32:47
Episode Cover

7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)

Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo...

Listen

Episode 10

October 06, 2025 00:29:21
Episode Cover

9. Shuhuda za Wokovu

Shuhuda za Wokovu   https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35  

Listen

Episode 4

October 06, 2025 00:41:26
Episode Cover

3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)

Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa...

Listen