10. Maelezo ya Ziada

Episode 11 October 06, 2025 00:54:51
10. Maelezo ya Ziada
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
10. Maelezo ya Ziada

Oct 06 2025 | 00:54:51

/

Show Notes

• Fidia

Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara nyingi kama uwakilishi chanya wa ukombozi (mf: Kutoka 21:30, ‘kiasi cha fedha’; Hesabu 35:31-32; Isaya 43:3, ‘fidia’). Katika Agano Jipya, Mathayo 20:28 na Marko 10:45 vinaeleza fidia kuwa ni “malipo ya fedha”.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 3

October 06, 2025 00:20:49
Episode Cover

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...

Listen

Episode 4

October 06, 2025 00:41:26
Episode Cover

3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)

Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa...

Listen

Episode 8

October 06, 2025 00:32:47
Episode Cover

7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)

Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo...

Listen