10. Maelezo ya Ziada

Episode 11 October 06, 2025 00:54:51
10. Maelezo ya Ziada
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
10. Maelezo ya Ziada

Oct 06 2025 | 00:54:51

/

Show Notes

• Fidia

Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara nyingi kama uwakilishi chanya wa ukombozi (mf: Kutoka 21:30, ‘kiasi cha fedha’; Hesabu 35:31-32; Isaya 43:3, ‘fidia’). Katika Agano Jipya, Mathayo 20:28 na Marko 10:45 vinaeleza fidia kuwa ni “malipo ya fedha”.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 3

October 06, 2025 00:20:49
Episode Cover

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...

Listen

Episode 6

October 06, 2025 01:38:53
Episode Cover

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote....

Listen

Episode 5

October 06, 2025 00:59:40
Episode Cover

4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)

Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa...

Listen