Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa kuna mwenye dhambi anayehangaika kutokana na dhambi zake, ni kwa sababu hajaelewa jinsi Yesu alivyowatoa kutoka kwa dhambi zote kwa kupitia ubatizo Wake.
Sote tunapaswa kufahamu na kuamini siri ya wokovu. Yesu alichukua dhambi zetu zote kwa ubatizo Wake na amebeba hukumu kwa dhambi zetu kwa kufa msalabani.
Unapaswa kuamini wokovu wa maji na wa Roho; ukombozi wa milele kutoka kwa dhambi zote. Unapaswa kuamini upendo Wake mkubwa ambao tayari umekufanya kuwa mtu mwenye haki. Amini kile alichofanya kwa ajili ya wokovu wako katika Mto Yordani na msalabani.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...
Shuhuda za Wokovu https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo...