Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa kuna mwenye dhambi anayehangaika kutokana na dhambi zake, ni kwa sababu hajaelewa jinsi Yesu alivyowatoa kutoka kwa dhambi zote kwa kupitia ubatizo Wake.
Sote tunapaswa kufahamu na kuamini siri ya wokovu. Yesu alichukua dhambi zetu zote kwa ubatizo Wake na amebeba hukumu kwa dhambi zetu kwa kufa msalabani.
Unapaswa kuamini wokovu wa maji na wa Roho; ukombozi wa milele kutoka kwa dhambi zote. Unapaswa kuamini upendo Wake mkubwa ambao tayari umekufanya kuwa mtu mwenye haki. Amini kile alichofanya kwa ajili ya wokovu wako katika Mto Yordani na msalabani.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote....
Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya...
Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa...