7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)

Episode 8 October 06, 2025 00:32:47
7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)

Oct 06 2025 | 00:32:47

/

Show Notes

Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo Wake, ulioondoa dhambi zote za ulimwengu. Aliwaokoa waumini wote na kuwafanya wote kuwa watu Wake.
Haya yote ni matokeo ya neema ya Mungu(God). Kama isemavyo katika Zaburi 8:4, “Mtu ni nani hata Umkumbuke.” Wale waliookolewa kutoka kwa dhambi zote ndio wapokeaji wa upendo Wake wa kipekee. Wao ni watoto Wake.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 5

October 06, 2025 00:59:40
Episode Cover

4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)

Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa...

Listen

Episode 12

October 06, 2025 01:15:39
Episode Cover

11. Maswali na Majibu

Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile...

Listen

Episode 2

October 06, 2025 00:29:48
Episode Cover

1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)

Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya...

Listen