8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)

Episode 9 October 06, 2025 02:07:52
8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)

Oct 06 2025 | 02:07:52

/

Show Notes

Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.” Simoni Petro alikuwa mwanafunzi bora zaidi wa Yesu. Aliamini kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mungu(God) na akashuhudia kwamba Yesu ndiye Kristo. Na Yesu alipokuwa akimwosha miguu yake, hakika kulikuwa na sababu ya Yeye kufanya hivyo. Petro alipokiri imani yake kwamba Yesu ndiye Kristo, ilimaanisha kwamba aliamini Yesu kuwa Mwokozi ambaye angemwokoa kutoka katika dhambi zake zote.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 2

October 06, 2025 00:29:48
Episode Cover

1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)

Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya...

Listen

Episode 8

October 06, 2025 00:32:47
Episode Cover

7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)

Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo...

Listen

Episode 3

October 06, 2025 00:20:49
Episode Cover

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...

Listen