8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)

Episode 9 October 06, 2025 02:07:52
8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)

Oct 06 2025 | 02:07:52

/

Show Notes

Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.” Simoni Petro alikuwa mwanafunzi bora zaidi wa Yesu. Aliamini kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mungu(God) na akashuhudia kwamba Yesu ndiye Kristo. Na Yesu alipokuwa akimwosha miguu yake, hakika kulikuwa na sababu ya Yeye kufanya hivyo. Petro alipokiri imani yake kwamba Yesu ndiye Kristo, ilimaanisha kwamba aliamini Yesu kuwa Mwokozi ambaye angemwokoa kutoka katika dhambi zake zote.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 10

October 06, 2025 00:29:21
Episode Cover

9. Shuhuda za Wokovu

Shuhuda za Wokovu   https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35  

Listen

Episode 7

October 06, 2025 01:05:02
Episode Cover

6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)

Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa...

Listen

Episode 3

October 06, 2025 00:20:49
Episode Cover

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...

Listen