Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo?
Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna mabatizo matatu tofauti: ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa ajili ya toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji kama taratibu ya kiibada.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa;...
Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na...
Shuhuda za Wokovu https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35