11. Maswali na Majibu

Episode 12 October 06, 2025 01:15:39
11. Maswali na Majibu
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
11. Maswali na Majibu

Oct 06 2025 | 01:15:39

/

Show Notes

Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo?

Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna mabatizo matatu tofauti: ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa ajili ya toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji kama taratibu ya kiibada.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 5

October 06, 2025 00:59:40
Episode Cover

4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)

Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa...

Listen

Episode 11

October 06, 2025 00:54:51
Episode Cover

10. Maelezo ya Ziada

• Fidia Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara...

Listen

Episode 10

October 06, 2025 00:29:21
Episode Cover

9. Shuhuda za Wokovu

Shuhuda za Wokovu   https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35  

Listen