11. Maswali na Majibu

Episode 12 October 06, 2025 01:15:39
11. Maswali na Majibu
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
11. Maswali na Majibu

Oct 06 2025 | 01:15:39

/

Show Notes

Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo?

Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna mabatizo matatu tofauti: ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa ajili ya toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji kama taratibu ya kiibada.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 1

October 06, 2025 00:15:47
Episode Cover

Dibaji

Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na...

Listen

Episode 6

October 06, 2025 01:38:53
Episode Cover

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote....

Listen

Episode 3

October 06, 2025 00:20:49
Episode Cover

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...

Listen