Dibaji

Episode 1 October 06, 2025 00:15:47
Dibaji
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]
Dibaji

Oct 06 2025 | 00:15:47

/

Show Notes

Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho

Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na jehanamu. Yeye pia aliumba mwanadamu kwa mfano Wake Mwenyewe. Hata hivyo, kwa kuwa mwanadamu wa kwanza, Adamu, alitenda dhambi mbele za Mungu(God), watu wote imewapasa kufa mara moja. “Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).
Kifo cha miili yetu ndiyo njia ya kupita kwenda kwenye uzima wa milele. Wale wasio na dhambi wataingia katika ulimwengu wa milele wa mbingu na kufurahia milele furaha ya kuwa mtoto wa Mungu(God), ilhali wenye dhambi watatupwa katika “ziwa la moto na kiberiti” (Ufunuo 20:10) na watateswa mchana na usiku milele na milele.

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

 

Other Episodes

Episode 5

October 06, 2025 00:59:40
Episode Cover

4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)

Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa...

Listen

Episode 10

October 06, 2025 00:29:21
Episode Cover

9. Shuhuda za Wokovu

Shuhuda za Wokovu   https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35  

Listen

Episode 6

October 06, 2025 01:38:53
Episode Cover

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote....

Listen