6. Yesu Kristo Alikuja kwa Maji, Damu, na Roho (1 Yohana 5:1-12)

Episode 6 January 12, 2023 01:03:59
6. Yesu Kristo Alikuja kwa Maji, Damu, na Roho (1 Yohana 5:1-12)
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO?
6. Yesu Kristo Alikuja kwa Maji, Damu, na Roho (1 Yohana 5:1-12)

Jan 12 2023 | 01:03:59

/

Show Notes

Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo ni sahihi. Alikuja kupitia ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliofanywa na Yohana Mbatizaji kwenye Mto Yordani. Ulikuwa ni ubatizo wa ukombozi ambao kwa huo alizichukua dhambi zote za ulimwengu.
Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo ni sahihi. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na kubatizwa ili kuchukua dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kuvuja damu Msalabani. Yesu alikuja kwa damu.
Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo ni sahihi. Yesu alikuwa God, lakini alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.

 

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 1

January 13, 2023 00:30:01
Episode Cover

1. Yatupasa Kwanza Kujua kuhusu Dhambi Zetu ili Kukombolewa (Marko 7:8-9, 20-23)

Ngoja nikuambie ni dhambi gani mbele za God. Ni kushindwa kuishi kwa mapenzi Yake. Sio kuamini Neno Lake. God alisema kuwa ni dhambi kuishi...

Listen

Episode 8

January 12, 2023 02:08:50
Episode Cover

8. Injili ya Upatanisho Ulio Tele (Yohana 13:1-17)

Kwa nini Yesu aliosha miguu ya Petro siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka (Pasaka ya Wayahudi)? Alipokuwa anaosha miguu yake, Yesu alisema, “Hujui...

Listen

Episode 5

January 12, 2023 01:37:14
Episode Cover

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

Lord(Bwana) God wetu amekata pingu za dhambi kwa watu wote. Wote wanaofanya kazi chini ya dhambi ni watumwa. Ameondoa dhambi zetu zote. Je, kuna...

Listen