10. Maswali na Majibu

Episode 10 January 12, 2023 01:14:24
10. Maswali na Majibu
JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO?
10. Maswali na Majibu

Jan 12 2023 | 01:14:24

/

Show Notes

Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ulivyonitumia kwa fadhili, na ninaona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo na ufufuo wa Yesu Kristo?

Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna ubatizo tatu tofauti; ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji ambao ni ibada yetu.

 

 

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 9

January 12, 2023 00:58:40
Episode Cover

9. Maelezo ya Ziada

Kufidia, Upatanisho Ibada ya kupitisha dhambi zote za ubinadamu kwa Yesu. Katika Agano la Kale, upatanisho ulikuwa uhamishaji wa dhambi kwenda kafara kwa kuwekewa...

Listen

Episode 2

January 13, 2023 00:20:33
Episode Cover

2. Wanadamu Huzaliwa Wakiwa ni Wenye Dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Wewe unaonaje kuhusu wewe mwenyewe? Je, unafikiri wewe ni mzuri sana au mbaya sana? unafikiri nini? Watu wote wanaishi...

Listen

Episode 8

January 12, 2023 02:08:50
Episode Cover

8. Injili ya Upatanisho Ulio Tele (Yohana 13:1-17)

Kwa nini Yesu aliosha miguu ya Petro siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka (Pasaka ya Wayahudi)? Alipokuwa anaosha miguu yake, Yesu alisema, “Hujui...

Listen