Latest Episodes
7
6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)
Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa...
8
7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro3:20-22)
Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo...
9
8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)
Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa;...
10
9. Shuhuda za Wokovu
Shuhuda za Wokovu https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
11
10. Maelezo ya Ziada
• Fidia Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara...
12
11. Maswali na Majibu
Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile...