JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]

Somo kuu la kichwa hiki ni "kuzaliwa mara ya pili kwa Maji na Roho." Kina upekee kwenye mada hii. Kwa maneno mengine, kitabu hiki kinaeleza waziwazi maana ya kuzaliwa mara ya pili na jinsi ya ...more

Latest Episodes

1

October 06, 2025 00:15:47
Episode Cover

Dibaji

Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na...

Listen

2

October 06, 2025 00:29:48
Episode Cover

1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)

Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya...

Listen

3

October 06, 2025 00:20:49
Episode Cover

2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)

Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu...

Listen

4

October 06, 2025 00:41:26
Episode Cover

3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)

Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa...

Listen

5

October 06, 2025 00:59:40
Episode Cover

4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)

Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa...

Listen

6

October 06, 2025 01:38:53
Episode Cover

5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)

Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote....

Listen
Next